A]  Kulipa shairi kichwa/anwaniv  Zingatia neno au maneno

 

A]  Kulipa shairi kichwa/anwani

v  Zingatia neno au maneno yaliyorudiwarudiwa

v  Zingatia kibwagizo

v  Zingatia ujumbe kwa ujumla

B] Kuandika kwa lugha ya na nathari

v  Zingatia kuwa kaida za kishairi huondolewa

v  Andika hicho kipande ulichopewa kwa kukielewa na bila kukipotosha maana yake

C] kueleza:-

                I] ujumbe wa shairi/mashairi

                II] ubeti wa shairi

                III] beti kadhaa za shairi

D] umbo/muundo wa shairi/mtindo wa shairi

                Fomula ya ushari  ni M V B

v  Zingatia idadi ya mishororo

v  Migawanyiko ya mishororo

v  Mpangilio wa vina na vipande

v  Mpangilio na matumizi ya maneno k.v uradidi wa maneno

v  Zingatia mizani ya shairi

v  Kibwagizo cha shairi kama kimefupishwa[msuko,mstari mshata] je, kimerudiwarudiwa ,kinabadilika badilika,je, ndicho kichwa chashairi n.k

E] UHURU WA MSHAIRI

v  Zingatia inkisari [kufupisha neno]

v  Zingatia mazida[kizidisha au kurefusha neno]

v  Tabdila [kulipa neno sura mpya kwa kigezo cha kutaka urari wakina mf. Pia-piya]

v  Kufinyanga sarufi/kubanaga/kuboronga-ni kubadili mpangilio wa sarufi katika neno mf.katika mshororo kama vile[kumi miaka imepita badala ya miaka kumi imepita]

v  Kikale [ni kutumia maneno ya kale kama vile samai ,buruji,rabuka]

v  Kilahaja[ni kutumia lahaja za kiswahilii kama vile kiammu, kimtng’ata, kimvita, kizwani]

v  Kutumia mbinu za sanaa[taswira,jazanda,methali,chuku,tanakuzi,istiara,tashibiha]

F]Mtahini lazima afahamu kuwa sababu ya mshairi kutumia uhuru kama vile mazida,inkisari,tabdila ni:-

v  Kutaka kutimiza/kusawazisha mizani

v  Kutaka kutimiza/kusawazisha vina

G jinsi ya kueleza bahari ya ushairi

A] kwa kutumia kigezo cha idadi ya mshororo bahari zifuatazo hubainika

Umoja

Upili/tathnia

Utatu/tathlitha

Unne/tarbia

Utanotakhmisa

Usita/siataia/tasdisa

Usaba/tasbia

Unane/tathmina

Utisa

Ukumi/taashuri

Gungu-ni shairi lenye mishororo mirefu kwa ajili ya mizani zilizomo kwenye shairi huwa na mizani zaidi ya 12 na huwa na kina kimoja

…………………………………………..twa [12]

…………………………………………..twa [12]

……………………………………………twa [12]

……………………………………………twa [12]

Utenzi– ni shairi ambalo huwa na mizani chini ya kumi na mbili na aghalabu huwa na kina kimoja

1…………………………………………..a

……………………………………………..a

………………………………………………a

 

2…………………………………………….a

……………………………………………….a

……………………………………………….a

 

3……………………………………………..a

……………………………………………….a

………………………………………………..a

 

 

Mapingiti/masivina– nishairi huru/ ni mashairi ya kileo.

 

Kisarambe/guni –ni shairi ambalo halikutimiza sheria za kishairi yaani linadosari  na mshari  kaziweka bila ya kukusudia au kutojua

 

 

B]kwa kutumia kigezo cha idadi ya vipande katika mishororo bahari zifuatazo hubainika

Mathnawi  – ni shairi lenye vipande viwili

…………………a……………………..b

…………………a………………………b

…………………a…………………….b

[Aukwapi],    [B utao]

 

Ukawafi –ni shairi lenye vipande vitatu

…………………a……………………..b…………………………………………c

…………………a………………………b…………………………………………c

…………………a……………………….b………………………………………….c

[A ukwapi],        [B utao] ,                             [C mwandamizi]

 

Ingawa katika vipande vya mashari huwa kama ifuatavyo

1         ukwapi   2 utao  3 mwandami 4 ukigo

 

kikai– ni shairi ambalo vipande vyake haviingiliani kimizani yaani huwa mizani 4,9 [ukwapi na utao]

……………………4……………………………9

…………………….4…………………………..9

…………………….4……………………………9

tumbuizo-nishairi kama ukawafi yaani lina vipande vitatu katika kila mshororo lakini kila kipande huwa na mizani 8

……………………………….8………………………………8……………………………………8

……………………………….8……………………………….8……………………………………8

………………………………..8………………………………8…………………………………….8

dura[mandhuma] ni shairiambalo kipande cha kwanza hutoa wazo au swali na kipande cha pili hutoa suluhisho au jawabu.

Sakarani ni shairi lenye bahari kuu/shairi lenye muundo wa maishiri mengi kwenye shairi moja

……………………………………na       [UTENZI]

…………………………………….na

……………………………………na

……………………..ki…………………………………..ti                       TATHLITHA

……………………..ki………………………………….ti

…………………….ki……………………………………ti

 

………………….A…………………………………..sa…………………………..da              TARBIA UKAWAFI

……………………a………………………………….sa………………………….da

……………………..a………………………………..sa………………………….da

……………………..a………………………………….sa………………………..da

c]Kwakutumia  cha matumizi ya maneno utapata

kikwamba – ni shairi mabalo neno ambalo hunza kwenye mshororo ndilo huutanguliza kila mshroro

1 .nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

 

2. nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

 

takriri awali– ni shairi ambalo silabi au mizani ya mwanzo ya kila mstari hufanana.

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

 

 

 

Aina ya mishororo

A] 1 mwanzo,2 mloto,3 mleo 4 kibwagizo,kipokeo

B]mstatri shata ni mishororo ambao haujitoshelezi kimizani na kimaana

C] mstari toshelezi ni mshororo unaojitosheleza kimizani na kimaana

pindu – ni shairi ambalo maneno vile yanavavyoishia ndivyo huutanguliza mstari unaofuata

…………………..maisha.maisha…………………………kazi

Kazi……………bidii,bidii…………………………..dunia

Dunia…………jalia,jalia………………………maisha

                D]Kwa kigezo cha vina

ukara –ni shairi ambalo vina vya mwisho vimefanana vyo au vina vya ndani viki fanana katika shairi lote na vile vya nje vkiitofautiana pia huitwa ukara

  1. …………………………….ki………………………ma                                         

…………………………………..ki……………………………ma

…………………………………..ki……………………………..ma

 

2……………………………….pi………………………………ma

…………………………………pi……………………………….ma

…………………………………pi……………………………….ma

 

3……………………………….kwa……………………………..ma

…………………………………kwa……………………………….ma

…………………………………..kwa……………………………….ma

Ukaraguni           ni shairi ambalo kila ubeti huwa na vina vilivyo fanana kwenye huo ubeti lakini kwenye beti zingine havilingani.

1……………………………………………a……………………………ni

…………………………………………….a……………………………ni

…………………………………………….a……………………………..ni

 

 

2…………………………………………….si…………………………………po

……………………………………………..si…………………………………po

……………………………………………..si………………………………….po

 

Mtiririko ni shairi ambalo vina vyake vyo hufanana vya ndani na nje

1

……………………………….a…………………………………….a

……………………………….a……………………………………..a

……………………………….a……………………………………….a

 

2

………………………………a………………………………………..a

………………………………a…………………………………………a

……………………………….a…………………………………………a

 

 

E] katika kibwagizo

Msuko– ni shairi ambalo kibwagizo huwa kimefupishwa kimizani

 

……………………………………..8……………………………….8

………………………………………8……………………………….8

……………………………………..8………………………………8

                …………………………………8

 

BAHARI ZINGINE NI KAMA

A]ngonjera ni shairi la majibizano kati ya wahusika wawili au zaidi katika shairi moja

 

B]malumbano ni shairi amabalo huwa na mashairi mawili ya kujibizana na huzua ubishi

 

C] kifungu nyama ni shairi ambalo ni la kimafumbo au kitendawili  ambalo huitaji washairi wengine wa fumbue au wategue

 

D]msemele ni shairi ambalo hutmia tamathali nyingi za usemi au mtunzi utumia lugha iliyojaa ufundi mwingi

KATIKA MASWALI YA MSAMIATI TEGEMEA

A]kuona msamiati wa kwaida

B] msamiati wa kilahaja

C] maneno yaliyo toholewa

WAKATI UNAPO ULIZWA ULINGANISHE MASHAIRI MAWILI

A] Kuzingatia maudhui ya shairi

B]muundo washairi

 

 

 

 

Ni matumaini yangu kwamba badaa ya kusoma uchambuzi huu utawafaa wengi wenye shida za ushairi

 

 

SHUKRANI KWA WATAHINI WOTE

MIYE WENU MTAYARISHI :ABDULRAHIM ALI

MKUU WA IDARA YA LUGHA

SHULE YA UPILI YA MLIMA SINAI

KUSINI MWA MOMBASA

0729445291 S.L.P 96212,96375 MOMBASA

 

 

 

 

 

 

 

 

 

A]  Kulipa shairi kichwa/anwani

v  Zingatia neno au maneno yaliyorudiwarudiwa

v  Zingatia kibwagizo

v  Zingatia ujumbe kwa ujumla

B] Kuandika kwa lugha ya na nathari

v  Zingatia kuwa kaida za kishairi huondolewa

v  Andika hicho kipande ulichopewa kwa kukielewa na bila kukipotosha maana yake

C] kueleza:-

                I] ujumbe wa shairi/mashairi

                II] ubeti wa shairi

                III] beti kadhaa za shairi

D] umbo/muundo wa shairi/mtindo wa shairi

                Fomula ya ushari  ni M V B

v  Zingatia idadi ya mishororo

v  Migawanyiko ya mishororo

v  Mpangilio wa vina na vipande

v  Mpangilio na matumizi ya maneno k.v uradidi wa maneno

v  Zingatia mizani ya shairi

v  Kibwagizo cha shairi kama kimefupishwa[msuko,mstari mshata] je, kimerudiwarudiwa ,kinabadilika badilika,je, ndicho kichwa chashairi n.k

E] UHURU WA MSHAIRI

v  Zingatia inkisari [kufupisha neno]

v  Zingatia mazida[kizidisha au kurefusha neno]

v  Tabdila [kulipa neno sura mpya kwa kigezo cha kutaka urari wakina mf. Pia-piya]

v  Kufinyanga sarufi/kubanaga/kuboronga-ni kubadili mpangilio wa sarufi katika neno mf.katika mshororo kama vile[kumi miaka imepita badala ya miaka kumi imepita]

v  Kikale [ni kutumia maneno ya kale kama vile samai ,buruji,rabuka]

v  Kilahaja[ni kutumia lahaja za kiswahilii kama vile kiammu, kimtng’ata, kimvita, kizwani]

v  Kutumia mbinu za sanaa[taswira,jazanda,methali,chuku,tanakuzi,istiara,tashibiha]

F]Mtahini lazima afahamu kuwa sababu ya mshairi kutumia uhuru kama vile mazida,inkisari,tabdila ni:-

v  Kutaka kutimiza/kusawazisha mizani

v  Kutaka kutimiza/kusawazisha vina

G jinsi ya kueleza bahari ya ushairi

A] kwa kutumia kigezo cha idadi ya mshororo bahari zifuatazo hubainika

Umoja

Upili/tathnia

Utatu/tathlitha

Unne/tarbia

Utanotakhmisa

Usita/siataia/tasdisa

Usaba/tasbia

Unane/tathmina

Utisa

Ukumi/taashuri

Gungu-ni shairi lenye mishororo mirefu kwa ajili ya mizani zilizomo kwenye shairi huwa na mizani zaidi ya 12 na huwa na kina kimoja

…………………………………………..twa [12]

…………………………………………..twa [12]

……………………………………………twa [12]

……………………………………………twa [12]

Utenzi– ni shairi ambalo huwa na mizani chini ya kumi na mbili na aghalabu huwa na kina kimoja

1…………………………………………..a

……………………………………………..a

………………………………………………a

 

2…………………………………………….a

……………………………………………….a

……………………………………………….a

 

3……………………………………………..a

……………………………………………….a

………………………………………………..a

 

 

Mapingiti/masivina– nishairi huru/ ni mashairi ya kileo.

 

Kisarambe/guni –ni shairi ambalo halikutimiza sheria za kishairi yaani linadosari  na mshari  kaziweka bila ya kukusudia au kutojua

 

 

B]kwa kutumia kigezo cha idadi ya vipande katika mishororo bahari zifuatazo hubainika

Mathnawi  – ni shairi lenye vipande viwili

…………………a……………………..b

…………………a………………………b

…………………a…………………….b

[Aukwapi],    [B utao]

 

Ukawafi –ni shairi lenye vipande vitatu

…………………a……………………..b…………………………………………c

…………………a………………………b…………………………………………c

…………………a……………………….b………………………………………….c

[A ukwapi],        [B utao] ,                             [C mwandamizi]

 

Ingawa katika vipande vya mashari huwa kama ifuatavyo

1         ukwapi   2 utao  3 mwandami 4 ukigo

 

kikai– ni shairi ambalo vipande vyake haviingiliani kimizani yaani huwa mizani 4,9 [ukwapi na utao]

……………………4……………………………9

…………………….4…………………………..9

…………………….4……………………………9

tumbuizo-nishairi kama ukawafi yaani lina vipande vitatu katika kila mshororo lakini kila kipande huwa na mizani 8

……………………………….8………………………………8……………………………………8

……………………………….8……………………………….8……………………………………8

………………………………..8………………………………8…………………………………….8

dura[mandhuma] ni shairiambalo kipande cha kwanza hutoa wazo au swali na kipande cha pili hutoa suluhisho au jawabu.

Sakarani ni shairi lenye bahari kuu/shairi lenye muundo wa maishiri mengi kwenye shairi moja

……………………………………na       [UTENZI]

…………………………………….na

……………………………………na

……………………..ki…………………………………..ti                       TATHLITHA

……………………..ki………………………………….ti

…………………….ki……………………………………ti

 

………………….A…………………………………..sa…………………………..da              TARBIA UKAWAFI

……………………a………………………………….sa………………………….da

……………………..a………………………………..sa………………………….da

……………………..a………………………………….sa………………………..da

c]Kwakutumia  cha matumizi ya maneno utapata

kikwamba – ni shairi mabalo neno ambalo hunza kwenye mshororo ndilo huutanguliza kila mshroro

1 .nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

 

2. nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

nasema……………..,…………………….,

 

takriri awali– ni shairi ambalo silabi au mizani ya mwanzo ya kila mstari hufanana.

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

Ka……………………….,………………………..,

 

 

 

Aina ya mishororo

A] 1 mwanzo,2 mloto,3 mleo 4 kibwagizo,kipokeo

B]mstatri shata ni mishororo ambao haujitoshelezi kimizani na kimaana

C] mstari toshelezi ni mshororo unaojitosheleza kimizani na kimaana

pindu – ni shairi ambalo maneno vile yanavavyoishia ndivyo huutanguliza mstari unaofuata

…………………..maisha.maisha…………………………kazi

Kazi……………bidii,bidii…………………………..dunia

Dunia…………jalia,jalia………………………maisha

                D]Kwa kigezo cha vina

ukara –ni shairi ambalo vina vya mwisho vimefanana vyo au vina vya ndani viki fanana katika shairi lote na vile vya nje vkiitofautiana pia huitwa ukara

  1. …………………………….ki………………………ma                                         

…………………………………..ki……………………………ma

…………………………………..ki……………………………..ma

 

2……………………………….pi………………………………ma

…………………………………pi……………………………….ma

…………………………………pi……………………………….ma

 

3……………………………….kwa……………………………..ma

…………………………………kwa……………………………….ma

…………………………………..kwa……………………………….ma

Ukaraguni           ni shairi ambalo kila ubeti huwa na vina vilivyo fanana kwenye huo ubeti lakini kwenye beti zingine havilingani.

1……………………………………………a……………………………ni

…………………………………………….a……………………………ni

…………………………………………….a……………………………..ni

 

 

2…………………………………………….si…………………………………po

……………………………………………..si…………………………………po

……………………………………………..si………………………………….po

 

Mtiririko ni shairi ambalo vina vyake vyo hufanana vya ndani na nje

1

……………………………….a…………………………………….a

……………………………….a……………………………………..a

……………………………….a……………………………………….a

 

2

………………………………a………………………………………..a

………………………………a…………………………………………a

……………………………….a…………………………………………a

 

 

E] katika kibwagizo

Msuko– ni shairi ambalo kibwagizo huwa kimefupishwa kimizani

 

……………………………………..8……………………………….8

………………………………………8……………………………….8

……………………………………..8………………………………8

                …………………………………8

 

BAHARI ZINGINE NI KAMA

A]ngonjera ni shairi la majibizano kati ya wahusika wawili au zaidi katika shairi moja

 

B]malumbano ni shairi amabalo huwa na mashairi mawili ya kujibizana na huzua ubishi

 

C] kifungu nyama ni shairi ambalo ni la kimafumbo au kitendawili  ambalo huitaji washairi wengine wa fumbue au wategue

 

D]msemele ni shairi ambalo hutmia tamathali nyingi za usemi au mtunzi utumia lugha iliyojaa ufundi mwingi

KATIKA MASWALI YA MSAMIATI TEGEMEA

A]kuona msamiati wa kwaida

B] msamiati wa kilahaja

C] maneno yaliyo toholewa

WAKATI UNAPO ULIZWA ULINGANISHE MASHAIRI MAWILI

A] Kuzingatia maudhui ya shairi

B]muundo washairi

 

 

 

 

Ni matumaini yangu kwamba badaa ya kusoma uchambuzi huu utawafaa wengi wenye shida za ushairi

 

 

SHUKRANI KWA WATAHINI WOTE

MIYE WENU MTAYARISHI :ABDULRAHIM ALI

MKUU WA IDARA YA LUGHA

SHULE YA AL-AMIN INTERGRTED TECHNICAL HIGH SCHOOL

KUSINI MWA MOMBASA

0729445291